Tumia muongozo huu kupata umahiri wa jinsi ya kujibu maswali kwa usahihi, kwa kutumia muongozo huu utaweza kupata msingi bora wa kujibia maswali mbalimbali.
MAENEO YALIYOGUSWA:
- Fasihi kwa ujumla
- Sarufi na utumizi wa lugha
- Ufahamu na Utungaji
- Maendeleo ya kiswahili
- Jinsi ya kujibu maswali ya vitabu