JINSI YA KULIPIA KWA M-PESA


Ili kuweza kutumia App ya SchoolPvh Unatakiwa kulipia Ngazi ya Elimu unayoitaka Mfano, Primary/O-level/A-level/Ualimu 

Hatua ya kwanza

Fungua app kisha chagua level unayotaka ili kulipia, kisha utabofya iyo level utapata ujumbe wa kukutaka ulipie

Baada ya kuchagua kiasi cha malipo utapata ujumbe kama unavoonekana kwenye picha hapa chini

Baada ya hapo utabonyeza Ok

Kisha utachagua M-Pesa

Kama inaovoonesha hapa chini

Ukuchagua mtandao wa kulipia Utakuletea sehemu ya kuandika Namba Yako Ya Vodacom Yenye Salio

Baada ya kukamilisha kuandika namba yako ya simu yenye malipo Utabofya  Pay.

Baada kubonyeza pay itakuletea ujumbe kama huu hapa chini kwenye picha

Kisha utaingiza namba ya siri ya M-pesa yako au Airtel money yako 

Baada ya kuingiza namba ya siri utabonyeza SEND


ENDAPO UTAPOKEA UJUMBE 

Pia unaweza ukapokea ujumbe unaokutaka ukamilishe muamala

Mfano kama unatumia M-pesa Utapokea ujumbe kama huu 

Baada ya kupokea ujumbe kama huo untakiwa kuingia kwenye menu ya kupiga kisha utaandika namba  hii *150*00*22#  kisha utabonyeza alama ya kupiga kama inavoonesha kwenye picha hapa chini

Baada ya kupiga iyo menu utaletewa ujumbe kama huu hapa chini

Baada ya kuletewa ujumbe kama huu

Utandika 1 kisha utabonyeza SEND

Baada ya kubonyeza SEND utaletewa ujumbe wa kuingiza namba ya siri 

Utaingiza namba ya siri yako kisha utabonyeza SEND

Mwisho kabisa utakiwa kuthibitisha kwa kuchagua namba 1 

Ukishaandika namba 1 utabonyeza SEND 

Utaletewa ujumbe kama huu chini

Hapo Utapokea Ujumbe (sms) wa M-Pesa Kwamba umelipia PVH INNOVATION TANZANIA LTD

Kisha utafungua app ya schoolPvh na kuendelea kutumia Level uliolipia Bila shida


Endapo utapata changamoto yoyote tupigie au  WhatsApp kwa namba zifuatazo

+255626272229

+255747272228

Au  tutafute kupitia mitandao ya kijamii

Facebook  https://fb.me/schoolpvh

Telegram   https://t.me/schoolpvh1

Instagram    https://Instagram.com/schoolpvh_tz

@SchoolPvhTeam